12 Nao Wahori+ walikaa Seiri nyakati za kale, na wana wa Esau+ wakawafukuza na kuwaangamiza kutoka mbele yao, wakakaa mahali pao,+ kama vile Israeli atakavyoitendea nchi iliyo miliki yake, ambayo hakika Yehova atawapa.)
22 kama vile alivyowafanyia wana wa Esau, wanaokaa Seiri,+ wakati ambapo aliwaangamiza Wahori+ kutoka mbele yao, ili wapate kuwafukuza na kukaa mahali pao mpaka leo hii.