Mwanzo 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Mimi ni mkaaji na mhamiaji katikati yenu.+ Nipeni mahali pangu pa kuzikia katikati yenu ili niweze kumzika mfu wangu kutoka machoni pangu.”+ Mwanzo 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye atakupa baraka ya Abrahamu,+ wewe na uzao wako pamoja nawe,+ ili upate kumiliki nchi ya makao yako ya kigeni,+ ambayo Mungu amempa Abrahamu.”+ Waebrania 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+
4 “Mimi ni mkaaji na mhamiaji katikati yenu.+ Nipeni mahali pangu pa kuzikia katikati yenu ili niweze kumzika mfu wangu kutoka machoni pangu.”+
4 Naye atakupa baraka ya Abrahamu,+ wewe na uzao wako pamoja nawe,+ ili upate kumiliki nchi ya makao yako ya kigeni,+ ambayo Mungu amempa Abrahamu.”+
9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+