Mwanzo 30:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+ Mwanzo 46:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wana wa Raheli,+ mke wa Yakobo, walikuwa Yosefu+ na Benyamini.+
25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+