Mambo ya Walawi 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake. 1 Samweli 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hapana,+ wanangu, kwa sababu habari ninazosikia si nzuri, ambazo watu wa Yehova wanaeneza.+ Yohana 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ulimwengu hauna sababu ya kuwachukia ninyi, lakini huo unanichukia mimi, kwa sababu ninatoa ushahidi juu yake kwamba kazi zake ni mbovu.+
5 “‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake.
7 Ulimwengu hauna sababu ya kuwachukia ninyi, lakini huo unanichukia mimi, kwa sababu ninatoa ushahidi juu yake kwamba kazi zake ni mbovu.+