Zaburi 64:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wanashikilia maneno mabaya;+Wanasema juu ya kuficha mitego.+Wamesema: “Ni nani anayewaona?”+ Methali 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+ Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+
11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+