Mwanzo 31:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Mnyama yeyote aliyeraruliwa vipande-vipande sikukuletea.+ Mimi mwenyewe nililipa hasara yake. Iwe mmoja aliibwa wakati wa mchana au aliibwa wakati wa usiku, wewe ulimtaka mkononi mwangu.+ Kutoka 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ikiwa kwa kweli atararuliwa na mnyama-mwitu,+ atamleta awe ushuhuda.+ Hatalipia kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu.
39 Mnyama yeyote aliyeraruliwa vipande-vipande sikukuletea.+ Mimi mwenyewe nililipa hasara yake. Iwe mmoja aliibwa wakati wa mchana au aliibwa wakati wa usiku, wewe ulimtaka mkononi mwangu.+
13 Ikiwa kwa kweli atararuliwa na mnyama-mwitu,+ atamleta awe ushuhuda.+ Hatalipia kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu.