Mwanzo 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na, tena, damu ya nafsi zenu nitaitaka. Kwa mkono wa kila kiumbe kilicho hai nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa kila mmoja ambaye ni ndugu yake, nitaitaka nafsi ya mwanadamu.+ Kutoka 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Usiue.+ Mambo ya Walawi 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Na ikiwa mtu ataipiga nafsi yoyote ya mwanadamu kiasi cha kuiua, lazima atauawa.+ 1 Yohana 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+
5 Na, tena, damu ya nafsi zenu nitaitaka. Kwa mkono wa kila kiumbe kilicho hai nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa kila mmoja ambaye ni ndugu yake, nitaitaka nafsi ya mwanadamu.+
15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+