Mwanzo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.+ Mwanzo 42:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha Rubeni akawajibu, akawaambia: “Je, sikuwaambia, ‘Msimtendee mtoto huyo dhambi,’ lakini hamkusikia?+ Na sasa damu yake inadaiwa tena.”+ Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+
22 Kisha Rubeni akawajibu, akawaambia: “Je, sikuwaambia, ‘Msimtendee mtoto huyo dhambi,’ lakini hamkusikia?+ Na sasa damu yake inadaiwa tena.”+