Kutoka 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ikiwa kwa kweli atararuliwa na mnyama-mwitu,+ atamleta awe ushuhuda.+ Hatalipia kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu. 2 Wafalme 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+
13 Ikiwa kwa kweli atararuliwa na mnyama-mwitu,+ atamleta awe ushuhuda.+ Hatalipia kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu.
24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+