1 Mambo ya Nyakati 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wana wa Yuda walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela.+ Binti ya Shua, mwanamke Mkanaani, alimzalia wana hao watatu. Na Eri mzaliwa wa kwanza wa Yuda akawa mbaya machoni pa Yehova, hivi kwamba yeye akamuua.+ Zaburi 55:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela.+ Binti ya Shua, mwanamke Mkanaani, alimzalia wana hao watatu. Na Eri mzaliwa wa kwanza wa Yuda akawa mbaya machoni pa Yehova, hivi kwamba yeye akamuua.+
23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+