18 Usilete malipo+ ya kahaba au bei ya mbwa+ ndani ya nyumba ya Yehova Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu hao ni chukizo kwa Yehova Mungu wako, naam, wote wawili.
33 Watu wana desturi ya kuwapa zawadi makahaba wote,+ lakini wewe—wewe umewapa zawadi wote wanaokupenda kwa tamaa,+ nawe unawapa rushwa waingie kwako kutoka pande zote katika matendo+ yako ya ukahaba.