Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa maana wewe ndiye umenitendea mema,+ nami ndiye nimekutendea uovu.

  • Ayubu 33:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yeye atawaimbia wanadamu na kusema,

      ‘Nimetenda dhambi;+ na nimepotosha lililo nyoofu,

      Nalo hakika halikuwa jambo linalofaa kwangu.

  • Methali 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki