1 Samweli 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa maana wewe ndiye umenitendea mema,+ nami ndiye nimekutendea uovu. Ayubu 33:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeye atawaimbia wanadamu na kusema,‘Nimetenda dhambi;+ na nimepotosha lililo nyoofu,Nalo hakika halikuwa jambo linalofaa kwangu. Methali 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+
17 Naye akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa maana wewe ndiye umenitendea mema,+ nami ndiye nimekutendea uovu.
27 Yeye atawaimbia wanadamu na kusema,‘Nimetenda dhambi;+ na nimepotosha lililo nyoofu,Nalo hakika halikuwa jambo linalofaa kwangu.
6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+