10 Mtu aliye mwaminifu katika lililo dogo zaidi ni mwaminifu katika lililo kubwa pia, na mtu ambaye si mwaminifu katika lililo dogo zaidi si mwaminifu katika lililo kubwa pia.+
17 Kwa hiyo akamwambia, ‘Vema, mtumwa mwema! Kwa sababu katika jambo dogo sana umejionyesha mwenyewe kuwa mwaminifu, uwe na mamlaka juu ya majiji kumi.’+