Luka 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na ikiwa ninyi hamjajionyesha wenyewe kuwa waaminifu kuhusiana na kilicho cha mwingine,+ ni nani atakayewapa ninyi kilicho chenu wenyewe? 1 Wakorintho 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+
12 Na ikiwa ninyi hamjajionyesha wenyewe kuwa waaminifu kuhusiana na kilicho cha mwingine,+ ni nani atakayewapa ninyi kilicho chenu wenyewe?
2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+