Zaburi 35:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hawasemi mambo ya amani;+Bali juu ya wanyamavu wa duniaWanaendelea kupanga mambo ya udanganyifu.+ Methali 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+ Methali 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayetokeza uaminifu atasema kilicho cha uadilifu,+ lakini shahidi wa uwongo, atasema udanganyifu.+
20 Kwa maana hawasemi mambo ya amani;+Bali juu ya wanyamavu wa duniaWanaendelea kupanga mambo ya udanganyifu.+
17 Anayetokeza uaminifu atasema kilicho cha uadilifu,+ lakini shahidi wa uwongo, atasema udanganyifu.+