Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi akawatia katika jela ya nyumba ya mkuu wa walinzi,+ katika ile nyumba ya gereza,+ mahali ambapo Yosefu alikuwa mfungwa.

  • Zaburi 105:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mpaka wakati neno lake lilipotimia,+

      Maneno ya Yehova mwenyewe yakamsafisha.+

  • Methali 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,+ huwafanya hata adui zake wawe na amani naye.+

  • Danieli 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Mungu wa kweli akampa Danieli fadhili zenye upendo na rehema mbele ya yule ofisa mkuu wa makao ya mfalme.+

  • Matendo 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki