Mwanzo 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi akawatia katika jela ya nyumba ya mkuu wa walinzi,+ katika ile nyumba ya gereza,+ mahali ambapo Yosefu alikuwa mfungwa. Zaburi 105:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mpaka wakati neno lake lilipotimia,+Maneno ya Yehova mwenyewe yakamsafisha.+ Methali 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,+ huwafanya hata adui zake wawe na amani naye.+ Danieli 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Mungu wa kweli akampa Danieli fadhili zenye upendo na rehema mbele ya yule ofisa mkuu wa makao ya mfalme.+ Matendo 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+
3 Basi akawatia katika jela ya nyumba ya mkuu wa walinzi,+ katika ile nyumba ya gereza,+ mahali ambapo Yosefu alikuwa mfungwa.
9 Basi Mungu wa kweli akampa Danieli fadhili zenye upendo na rehema mbele ya yule ofisa mkuu wa makao ya mfalme.+
9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+