Mwanzo 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu, nami nikachukua zabibu na kuziminya ndani ya kikombe cha Farao.+ Halafu nikakiweka kikombe mkononi mwa Farao.”+ Mwanzo 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha mkuu wa wanyweshaji akaongea na Farao,+ na kusema: “Dhambi zangu ninazitaja leo.+
11 Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu, nami nikachukua zabibu na kuziminya ndani ya kikombe cha Farao.+ Halafu nikakiweka kikombe mkononi mwa Farao.”+