Mwanzo 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakamjibu: “Tumeota ndoto, wala hatuna mtafsiri.” Basi Yosefu akawaambia: “Je, tafsiri si za Mungu?+ Tafadhali, nisimulieni.” Danieli 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini mimi sikufunuliwa siri hii kwa sababu nina hekima ndani yangu kuliko watu wengine walio hai,+ bali kusudi mfalme mwenyewe aambiwe tafsiri, upate kujua mawazo ya moyo wako.+
8 Wakamjibu: “Tumeota ndoto, wala hatuna mtafsiri.” Basi Yosefu akawaambia: “Je, tafsiri si za Mungu?+ Tafadhali, nisimulieni.”
30 Lakini mimi sikufunuliwa siri hii kwa sababu nina hekima ndani yangu kuliko watu wengine walio hai,+ bali kusudi mfalme mwenyewe aambiwe tafsiri, upate kujua mawazo ya moyo wako.+