27 Na wale wavulana wakawa wakubwa, naye Esau akawa mwanamume anayejua jinsi ya kuwinda,+ mwanamume wa mbugani, bali Yakobo akawa mwanamume asiye na lawama,+ akikaa katika mahema.+
9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+