Mwanzo 37:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Hata hivyo, Wamidiani wakamuuza Misri kwa Potifa, ofisa wa makao ya Farao,+ mkuu wa walinzi.+ Mwanzo 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi akawatia katika jela ya nyumba ya mkuu wa walinzi,+ katika ile nyumba ya gereza,+ mahali ambapo Yosefu alikuwa mfungwa.
3 Basi akawatia katika jela ya nyumba ya mkuu wa walinzi,+ katika ile nyumba ya gereza,+ mahali ambapo Yosefu alikuwa mfungwa.