15 Kwa maana kwa kweli nilitekwa nyara kutoka katika nchi ya Waebrania;+ na hapa pia sijafanya jambo lolote kamwe hata wanitie katika tundu hili la gereza.”+
25 Ndipo Arioko akampeleka Danieli haraka-haraka mbele ya mfalme, akamwambia hivi: “Nimepata mwanamume mmoja kutoka kwa wahamishwa+ wa Yuda anayeweza kumjulisha mfalme ile tafsiri.”