Hesabu 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kuanzia umri wa miaka 30+ na zaidi mpaka miaka 50,+ wale wote wanaoingia katika kikundi+ cha utumishi ili kufanya kazi katika hema la mkutano. 2 Samweli 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Daudi alikuwa na umri wa miaka 30 alipoanza kuwa mfalme. Akatawala kwa miaka 40+ akiwa mfalme. Luka 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tena, Yesu mwenyewe, alipoanza kazi yake,+ alikuwa na umri wa karibu miaka 30,+ akiwa mwana,+ kama alivyoonwa,wa Yosefu,+ mwana wa Heli,
3 kuanzia umri wa miaka 30+ na zaidi mpaka miaka 50,+ wale wote wanaoingia katika kikundi+ cha utumishi ili kufanya kazi katika hema la mkutano.
23 Tena, Yesu mwenyewe, alipoanza kazi yake,+ alikuwa na umri wa karibu miaka 30,+ akiwa mwana,+ kama alivyoonwa,wa Yosefu,+ mwana wa Heli,