Mwanzo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mungu akaendelea kusema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kwa sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia.”+ 1 Wakorintho 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana mwanamume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano+ na utukufu wa Mungu;+ lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.+ Yakobo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+
26 Mungu akaendelea kusema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kwa sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia.”+
7 Kwa maana mwanamume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano+ na utukufu wa Mungu;+ lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.+
9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+