Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Njooni, na tumuuze kwa Waishmaeli,+ nasi tusiinue mkono wetu juu yake.+ Bado yeye ni ndugu yetu, nyama yetu.” Kwa hiyo wakamsikiliza ndugu yao.+

  • Mwanzo 37:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wanawe wote na binti zake wote wakawa wakiondoka ili kumfariji,+ lakini akawa akizidi kukataa kufarijiwa na kusema:+ “Kwa maana nitashuka kuingia katika Kaburi* nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.

  • Mwanzo 44:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi tukamwambia bwana wangu, ‘Tuna baba aliye mzee na mtoto wa uzee wake, aliye mdogo zaidi.+ Lakini ndugu yake amekufa hivi kwamba yeye tu ndiye aliyesalia wa mama yake,+ na baba yake anampenda.’

  • Mwanzo 45:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kisha wakampasha habari, wakimwambia: “Yosefu angali hai, naye ndiye anayetawala nchi yote ya Misri!”+ Lakini moyo wake ukafa ganzi, kwa sababu hakuwaamini.+

  • Matendo 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki