34 Nanyi mkamlete ndugu yenu mdogo, ili nijue kwamba ninyi si wapelelezi bali ni watu wanyoofu. Nitawarudishia ndugu yenu, nanyi mnaweza kufanya biashara yenu nchini.’”+
29 Alipoinua macho yake na kumwona Benyamini ndugu yake, mwana wa mama yake,+ akasema: “Je, huyu ni ndugu yenu, yule mdogo zaidi mliyeniambia juu yake?”+ Naye akaongeza kusema: “Mungu na akuonyeshe kibali chake,+ mwanangu.”