Mambo ya Walawi 26:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “‘Nao wale wanaobaki katikati yenu,+ hakika nitatia woga mioyoni mwao katika nchi za adui zao; na sauti ya jani linalopeperushwa itawafukuza, nao kwa kweli watakimbia kama wanavyoukimbia upanga na kuanguka pasipo mtu yeyote kufuatilia.+ Luka 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Unaona, nilikuogopa, kwa sababu wewe ni mtu mgumu; wewe huchukua kile ambacho hukuweka akiba nawe huvuna kile ambacho hukupanda.’+
36 “‘Nao wale wanaobaki katikati yenu,+ hakika nitatia woga mioyoni mwao katika nchi za adui zao; na sauti ya jani linalopeperushwa itawafukuza, nao kwa kweli watakimbia kama wanavyoukimbia upanga na kuanguka pasipo mtu yeyote kufuatilia.+
21 Unaona, nilikuogopa, kwa sababu wewe ni mtu mgumu; wewe huchukua kile ambacho hukuweka akiba nawe huvuna kile ambacho hukupanda.’+