Mwanzo 42:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sisi sote ni wana wa mtu mmoja tu. Sisi ni watu wanyoofu. Watumishi wako si wapelelezi.”+ Methali 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+ Methali 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Anayetembea katika unyoofu wake anamwogopa Yehova,+ lakini mtu mpotovu anamdharau Yeye katika njia zake.+
6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+
2 Anayetembea katika unyoofu wake anamwogopa Yehova,+ lakini mtu mpotovu anamdharau Yeye katika njia zake.+