Mwanzo 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+ Mwanzo 42:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yakobo hakumruhusu Benyamini,+ ndugu ya Yosefu, aende pamoja na wale ndugu zake wengine, kwa sababu alisema: “Ili tukio lenye kufisha lisimpate.”+
18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+
4 Lakini Yakobo hakumruhusu Benyamini,+ ndugu ya Yosefu, aende pamoja na wale ndugu zake wengine, kwa sababu alisema: “Ili tukio lenye kufisha lisimpate.”+