Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini kifo kikitokea, basi utatoa nafsi kwa nafsi,+

  • 1 Wafalme 20:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Na ikawa kwamba mfalme alipokuwa anapita, akamwita mfalme na kusema:+ “Mtumishi wako alienda mahali palipo na pigano kali sana; na tazama! mtu fulani alikuwa akitoka katika uwanja wa mapigano, kisha akaniletea mtu na kusema, ‘Mlinde mtu huyu. Akitoweka kwa vyovyote, nafsi+ yako itachukua mahali pa nafsi+ yake, kama sivyo utapima talanta moja ya fedha.’+

  • Waroma 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana ni vigumu kwa yeyote kufa kwa ajili ya mtu mwadilifu;+ kwa kweli, labda, mtu anaweza kuthubutu kufa+ kwa ajili ya mtu mwema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki