1 Samweli 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na wale wote wa nchi hiyo wakaingia msituni, nayo asali+ ikawa usoni pa nchi. Methali 25:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Je, umepata asali?+ Kula kiasi cha kukutosha, ili usiile kupita kiasi kisha uitapike.+ Mathayo 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+
4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+