Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baadaye akaota ndoto nyingine tena, akawasimulia ndugu zake na kusema: “Tazama nimeota ndoto tena, na tazama, jua na mwezi na nyota kumi na moja zilikuwa zikiniinamia.”+

  • 2 Samweli 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na ikawa kwamba katika siku ya tatu, tazama! mtu+ fulani alikuwa anakuja kutoka katika kambi, kutoka kwa Sauli, mavazi yake yakiwa yameraruliwa+ na mavumbi yakiwa juu ya kichwa chake;+ na ikawa alipomjia Daudi, akaanguka chini+ mara moja na kulala kifudifudi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na baada ya kifo cha Yehoyada, wakuu+ wa Yuda wakaja na kumwinamia mfalme. Na wakati huo mfalme akawasikiliza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki