Mwanzo 44:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yosefu akawaambia: “Ni tendo gani hili mlilolifanya? Je, hamkujua kwamba mimi naweza kusoma ishara za bahati kwa ustadi?”+ Mambo ya Walawi 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Msile kitu chochote pamoja na damu.+ “‘Msitafute ishara za bahati,+ wala msifanye uchawi.+
15 Yosefu akawaambia: “Ni tendo gani hili mlilolifanya? Je, hamkujua kwamba mimi naweza kusoma ishara za bahati kwa ustadi?”+