26 Kisha wakampasha habari, wakimwambia: “Yosefu angali hai, naye ndiye anayetawala nchi yote ya Misri!”+ Lakini moyo wake ukafa ganzi, kwa sababu hakuwaamini.+
10 naye akamkomboa kutoka katika dhiki zake zote na kumpa neema na hekima machoni pa Farao mfalme wa Misri. Naye akamweka aongoze Misri na nyumba yake yote.+