Kumbukumbu la Torati 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akamzika katika bonde katika nchi ya Moabu mbele ya Beth-peori,+ na hakuna mtu ambaye amepata kujua kaburi lake mpaka leo hii.+ Yohana 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+ Waebrania 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa imani Enoko+ alihamishwa ili asione kifo, naye hakupatikana popote kwa sababu Mungu alikuwa amemhamisha;+ kwa maana kabla ya kuhamishwa kwake alikuwa ametolewa ushahidi kwamba amempendeza Mungu vema.+
6 Naye akamzika katika bonde katika nchi ya Moabu mbele ya Beth-peori,+ na hakuna mtu ambaye amepata kujua kaburi lake mpaka leo hii.+
13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+
5 Kwa imani Enoko+ alihamishwa ili asione kifo, naye hakupatikana popote kwa sababu Mungu alikuwa amemhamisha;+ kwa maana kabla ya kuhamishwa kwake alikuwa ametolewa ushahidi kwamba amempendeza Mungu vema.+