34 Mtasema, ‘Watumishi wako wamekuwa wafugaji sikuzote tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi na pia mababu zetu,’+ ili mpate kuishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu kila mchungaji wa kondoo ni chukizo katika nchi ya Misri.”+
47Basi Yosefu akaenda, akampa Farao habari, na kusema:+ “Baba yangu na ndugu zangu na makundi yao na mifugo yao na vyote walivyo navyo, wamekuja kutoka nchi ya Kanaani, na tazama, wako katika nchi ya Gosheni.”+
22 Na siku hiyo hakika nitaifanya nchi ya Gosheni ambapo watu wangu wanakaa iwe tofauti, kwamba inzi yeyote asiwe huko;+ ili upate kujua kwamba mimi ni Yehova katikati ya dunia.+