2 Samweli 3:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na watu wote wakaona, na jambo hilo likawa jema machoni pao. Kama ilivyo kwa kila jambo ambalo mfalme alifanya, lilikuwa jema machoni pa watu wote.+ Esta 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na jambo hilo likapendeza machoni pa mfalme+ na wakuu, naye mfalme akafanya kulingana na neno la Memukani.
36 Na watu wote wakaona, na jambo hilo likawa jema machoni pao. Kama ilivyo kwa kila jambo ambalo mfalme alifanya, lilikuwa jema machoni pa watu wote.+
21 Na jambo hilo likapendeza machoni pa mfalme+ na wakuu, naye mfalme akafanya kulingana na neno la Memukani.