25 Baada ya hayo Yosefu akatoa amri, nao wakavijaza kabisa vyombo vyao nafaka. Pia, walipaswa kurudisha pesa za watu hao kwenye gunia la kila mmoja wao+ na kuwapa vyakula kwa ajili ya safari.+ Ndivyo walivyofanyiwa.
18 Lakini hao watu wakaogopa kwa sababu walikuwa wamepelekwa nyumbani kwa Yosefu,+ wakaanza kusema: “Tunaletwa hapa ili watuangukie na kutushambulia na kutuchukua tuwe watumwa na pia punda zetu kwa sababu ya pesa tulizorudi nazo katika mifuko yetu pale mwanzoni!”+