Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 45:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Walipoendelea kumwambia maneno yote ya Yosefu aliyokuwa amewaambia na alipoona magari ambayo Yosefu alikuwa ametuma yamchukue, roho ya Yakobo baba yao ikaanza kufufuka.+

  • Mwanzo 46:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha Yakobo akaondoka Beer-sheba, nao wana wa Israeli wakaendelea kumsafirisha Yakobo baba yao na watoto wao na wake zao katika magari ambayo Farao alikuwa ametuma yamsafirishe.+

  • Hesabu 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 nao wakaleta toleo lao mbele za Yehova, magari sita yaliyofunikwa na ng’ombe kumi na wawili, gari moja kwa ajili ya wakuu wawili na ng’ombe-dume mmoja kwa ajili ya kila mmoja; nao wakatoa toleo hilo mbele ya maskani.

  • 1 Samweli 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nalo gari likaja katika shamba la Yoshua Mbeth-shemeshi, likasimama pale, ambapo palikuwa na jiwe kubwa. Nao wakaanza kupasua mbao za lile gari, na kuwatoa wale ng’ombe+ kuwa toleo la kuteketezwa kwa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki