Hesabu 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na baba zetu walishuka Misri,+ nasi tukaendelea kukaa Misri siku nyingi;+ nao Wamisri wakaanza kutudhuru sisi na baba zetu.+ Zaburi 105:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Israeli akaingia Misri,+Na Yakobo mwenyewe akakaa akiwa mgeni katika nchi ya Hamu.+ Isaya 52:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Watu wangu waliteremka kwenda Misri hapo kwanza ili kukaa wakiwa wageni;+ nayo Ashuru ikawakandamiza bila sababu.” Matendo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yakobo akashuka kuingia Misri.+ Naye akafa;+ na pia mababu zetu,+
15 Na baba zetu walishuka Misri,+ nasi tukaendelea kukaa Misri siku nyingi;+ nao Wamisri wakaanza kutudhuru sisi na baba zetu.+
4 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Watu wangu waliteremka kwenda Misri hapo kwanza ili kukaa wakiwa wageni;+ nayo Ashuru ikawakandamiza bila sababu.”