8 Mwishowe Yuda akamwambia Israeli baba yake: “Mruhusu huyu mvulana aende nami,+ ili tupate kuondoka twende na ili tuendelee kuishi ili tusife,+ sisi na wewe na watoto wetu wadogo.+
18 Sasa Yuda akamkaribia, akamwambia: “Nakuomba, bwana wangu, tafadhali mruhusu mtumwa wako aongee neno masikioni mwa bwana wangu,+ wala usiache hasira+ yako iwake juu ya mtumwa wako, kwa sababu wewe ni kama Farao.+