1 Mambo ya Nyakati 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini. Zaburi 39:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+ Waebrania 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+
15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini.
12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+
9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+