Mhubiri 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+ Maombolezo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Watu wake wote wanaugua; wanatafuta mkate.+Wametoa vitu vyao vyenye kutamanika wapate chakula, ili kuiburudisha nafsi.+Uone, Ee Yehova, na utazame, kwa maana nimekuwa kama mwanamke asiye na thamani.+
12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+
11 Watu wake wote wanaugua; wanatafuta mkate.+Wametoa vitu vyao vyenye kutamanika wapate chakula, ili kuiburudisha nafsi.+Uone, Ee Yehova, na utazame, kwa maana nimekuwa kama mwanamke asiye na thamani.+