Nehemia 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wengine wao walikuwa wakisema: “Tunatoa wana wetu na binti zetu kuwa rehani ili tupate nafaka, tule na tuishi.”+ Marko 8:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa kweli, mtu anaweza kutoa nini ili aipate nafsi yake?+
2 Na wengine wao walikuwa wakisema: “Tunatoa wana wetu na binti zetu kuwa rehani ili tupate nafaka, tule na tuishi.”+