Mwanzo 47:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa nini tufe machoni pako,+ sisi na mashamba yetu pia? Utununue sisi na mashamba yetu kwa mkate,+ nasi pamoja na mashamba yetu tutakuwa watumwa wa Farao; na utupe mbegu ili tupate kuishi na ili tusife na mashamba yetu yasikae ukiwa.”+ Methali 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+
19 Kwa nini tufe machoni pako,+ sisi na mashamba yetu pia? Utununue sisi na mashamba yetu kwa mkate,+ nasi pamoja na mashamba yetu tutakuwa watumwa wa Farao; na utupe mbegu ili tupate kuishi na ili tusife na mashamba yetu yasikae ukiwa.”+
21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+