Mwanzo 41:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Na kabla ya ule mwaka wa njaa kufika, Yosefu akazaa wana wawili,+ ambao Asenathi, binti ya Potifera kuhani wa Oni, alimzalia. Yoshua 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana wana wa Yosefu walikuwa wamekuwa makabila mawili,+ Manase+ na Efraimu;+ nao hawakuwa wamewapa Walawi fungu katika nchi, isipokuwa majiji+ ya kukaa na viwanja vyao vya malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+
50 Na kabla ya ule mwaka wa njaa kufika, Yosefu akazaa wana wawili,+ ambao Asenathi, binti ya Potifera kuhani wa Oni, alimzalia.
4 Kwa maana wana wa Yosefu walikuwa wamekuwa makabila mawili,+ Manase+ na Efraimu;+ nao hawakuwa wamewapa Walawi fungu katika nchi, isipokuwa majiji+ ya kukaa na viwanja vyao vya malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+