Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+ Hosea 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Akaendelea kushindana na malaika, naye mwishowe akashinda.+ Alilia, ili apate kujiombea kibali kwa bidii.”+ Alimkuta Betheli,+ na huko Yeye akaanza kusema nasi.+
13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+
4 Akaendelea kushindana na malaika, naye mwishowe akashinda.+ Alilia, ili apate kujiombea kibali kwa bidii.”+ Alimkuta Betheli,+ na huko Yeye akaanza kusema nasi.+