35 Nao wanawe wote na binti zake wote wakawa wakiondoka ili kumfariji,+ lakini akawa akizidi kukataa kufarijiwa na kusema:+ “Kwa maana nitashuka kuingia katika Kaburi* nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.
36 Kisha Yakobo baba yao akawaambia: “Mmefanya mimi nifiwe!+ Yosefu hayuko naye Simeoni hayuko,+ na Benyamini mtamchukua! Mambo yote hayo yamenijia mimi!”