Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wanawe wote na binti zake wote wakawa wakiondoka ili kumfariji,+ lakini akawa akizidi kukataa kufarijiwa na kusema:+ “Kwa maana nitashuka kuingia katika Kaburi* nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.

  • Mwanzo 42:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kisha Yakobo baba yao akawaambia: “Mmefanya mimi nifiwe!+ Yosefu hayuko naye Simeoni hayuko,+ na Benyamini mtamchukua! Mambo yote hayo yamenijia mimi!”

  • Mwanzo 46:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mwishowe Israeli akamwambia Yosefu: “Sasa niko tayari kufa,+ kwa kuwa nimeuona uso wako, kwa maana ungali hai.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki