Yoshua 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha kura+ ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni,+ kwa ajili ya kabila la wana wa Simeoni kulingana na familia zao. Na urithi wao ukawa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.+ Yoshua 21:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Majiji yote ya Walawi katikati ya miliki ya wana wa Israeli yalikuwa ni majiji 48+ pamoja na viwanja vyake vya malisho.+
19 Kisha kura+ ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni,+ kwa ajili ya kabila la wana wa Simeoni kulingana na familia zao. Na urithi wao ukawa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.+
41 Majiji yote ya Walawi katikati ya miliki ya wana wa Israeli yalikuwa ni majiji 48+ pamoja na viwanja vyake vya malisho.+