Kumbukumbu la Torati 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akamwambia Zabuloni:+“Shangilia, Ee Zabuloni, kwa sababu ya kutoka kwako nje,+Na, Isakari, kwa sababu ya mahema yako.+ Yoshua 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kura ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari,+ kwa ajili ya wana wa Isakari kulingana na familia zao. 1 Mambo ya Nyakati 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na ndugu zao wa familia zote za Isakari walikuwa mashujaa,+ wanaume wenye nguvu, 87,000 kulingana na maandikisho yao yote ya kiukoo.+
18 Naye akamwambia Zabuloni:+“Shangilia, Ee Zabuloni, kwa sababu ya kutoka kwako nje,+Na, Isakari, kwa sababu ya mahema yako.+
17 Kura ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari,+ kwa ajili ya wana wa Isakari kulingana na familia zao.
5 Na ndugu zao wa familia zote za Isakari walikuwa mashujaa,+ wanaume wenye nguvu, 87,000 kulingana na maandikisho yao yote ya kiukoo.+