8 Nao ndugu zake wakamwambia: “Je, kwa kweli utakuwa mfalme juu yetu?+ Au utatutawala?”+ Basi wakapata sababu mpya ya kumchukia kwa sababu ya ndoto zake na maneno yake.
15 Kwa maana kwa kweli nilitekwa nyara kutoka katika nchi ya Waebrania;+ na hapa pia sijafanya jambo lolote kamwe hata wanitie katika tundu hili la gereza.”+